,

,

,

,
Music

Barnaba: Nimeshauza maji, nshafanya kazi kwa mamantilie, nshaitiwa mwizi…

Anaweza kuwa mmoja wa wanamuziki wa Bongo Flava waliofanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa sasa, lakini Barnaba amepitia mengi. Ameshawahi kufanya karibu kila kazi unayoweza kuifikiria.
BARNABA BOY
“Kabla ya kuanza huu muziki nishauza maji, nshauza mamantilie, nishakuwa fundi makenika,” Barnaba alikiambia kipindi cha The Playlist cha Times kinachoendeshwa na Lil Ommy hivi karibuni.
“Nishaitiwa mwizi, nshauza siso, nshauza vyuma, nshakuwa fundi umeme, nshakuwa fundi nyumba,” aliongeza.
Alidai kuwa kuna wakati alikuwa akilala kwenye makuti katika kibanda kilichokuwa nje ya studio ya dada aitwaye Nzela baada ya kufukuzwa THT.

<<<MSIKILIZE HAPA>>>

SOURCE: Bongo5

Jozey The Boy inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Instagram na Twitter ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment

copyright © 2016 Jozey The Boy. Powered by Blogger.