,

,

,

,
Gossip

Meneja wa Diamond Apanda Ndege Kumfuata Chriss Brown Mombasa Kukamatia Fursa...

Wadau wa muziki wa bongofleva nadhan wote mnaelewa kuhusu ushindani unaoendelea kati ya wanamuziki machachari kabisa nchini..katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii nimeona meneja wa gwiji wa huu muziki Diamond platnumz ameandika kwamba anaelekea mombasa ambako gwiji Alikiba atapafomu akiwa pamoja na Chris brown kutoka America na wizkid,na kwa maoni ya watu wengi wanasema kwamba Sallam anaenda kumnasa Chris brown ili afanye kolabo na Chibu kama kipindi kile kwa Neyo..Nikiwa kama mpenzi bongofleva naomba kingkiba afanye kitu kuhusu kolabo na CB na asichezee bahati..

Jozey The Boy inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Instagram na Twitter ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment

copyright © 2016 Jozey The Boy. Powered by Blogger.