Kanye West hayupo kwenye mazungumzo yoyote na NBC ama mtu mwingine kwaajili ya kujumuika kwenye ujio mpya wa shindano la American Idol. ...
Read More
Home / Archive for March 2017
Mose Iyobo: Sitaweza kuimba kwakuwa kunahitaji akili nyingi
Kama utamuuliza Mose Iyobo kama atakuja kuwa muimbaji tegemea kusikia jibu la hapana. Dancer huyo maarufu wa Diamond kuwa hana...
Read More
New Music: Weusi – Ya Kulevya
Weusi wameachia kazi mpya waliyoipa jina YA KULEVYA. Wimbo umetayarishwa na Buggahleez na mastering kufanywa na Chizan Brain. Y...
Read More
Mr T Touch athibitisha kumsaini Young Dee kwenye lebo yake
Mr T Touch amethibitisha kumsajili Young Dee kwenye lebo yake, Touchez Sound Records kwa miaka mitatu. Mtayarishaji huyo wa muziki ameki...
Read More
Noma Sana ...Shilole Atoa Povu Kuhusu Khadija Kopa ..!!!
Msanii Shilole ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Sitoi kiki' amefunguka na kuwataja wasanii watano wa bongo fleva ambao y...
Read More
Ukimfaham Makonda Hutaacha Kumpenda. Hata Wapinzani Wake Mkimpata Mtampenda Sana...!!!
Huyu Ndugu Makonda. Ni vile wengi hawamfaham. Kama akiwa rafiki yako, akiwa chini yako hutaacha kumpenda. Ni mtu ambaye unapompa maelekez...
Read More
Polepole amkingia kifua Kinana
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Humphrey Polepole amekanusha taarifa zinazovumishwa katika mitandao ya kijamii, ...
Read More
Harmorapa: Mburudishaji mpya pendwa mwenye zali na kiki
TANGU juzi video na picha za Harmorapa zimekuwa zikisambaa mtandaoni ambazo zinamuonyesha msanii huyo akitimua mbio pindi alipoona kitendo...
Read More
Hatua Nne Za Kufikia Malengo Yako Kwa Uhakika Mkubwa...!!!
Kila mtu katika maisha yake ana malengo maalumu ambayo anakuwa amejiwekea na anakuwa ana waza kwamba kwa namna yoyote ni lazima baada ya...
Read More
Uholanzi ya mtimua kocha wao Danny Blind
Kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi, Danny Blind hatimaye ametimuliwa kufuatia muendelezo wa matokeo mabaya kunako timu hiyo. Maamuzi ha...
Read More
Singida United yafanya usajili ya wachezaji wawili kutoka Zimbabwe
Klabu ya Singida United ambayo imepanda daraja msimu huu 2017, kucheza ligi kuu Tanzania bara imefanikiwa kuwasajili wachezaji wengine Wazi...
Read More
Hiki ni kitu wanachopaswa kukifahamu wasanii wanaohofia kuachia kazi mpya kipindi hiki
Mwezi March ndio huo unaelekea ukingoni. Ahh huu mwezi ulikuwa na vimbwanga! Ni mwezi ambao kwa kiasi kikubwa utabaki kwenye kumbumbuku z...
Read More
Audio ya ngoma yangu toka kwenye video isichezwe redioni tafadhali – Jay Moe
Rapper mkongwe aliyetikisa game kwa ngoma yake ya ‘Pesa Madafu’ Jay Moe amezuia redio kucheza ngoma yake mpya ‘Nisaidie Kushare’ kwasababu...
Read More
Darassa afunguka kwanini aliipiga chini show ya Nairobi Jumamosi iliyopita!
Darassa yuko nchini Kenya kwa ziara ya kimuziki na alitarajiwa kupiga show ya kukata na shoka Jijini Nairobi Jumamosi iliyopita, March 18....
Read More
Harmonize: Sijui kama Diamond aliwahi kuwa na uhusiano na Wolper
Harmonize ameendelea kusisitiza msimamo wake kuwa hajawahi kusikia kama Diamond na mpenzi wake Jacqueline Wolper waliwahi kuwa na mahusian...
Read More
Muimbaji wa Kenya Susumila akubali kwamba yeye ni mchawi
Hatimaye msanii wa muziki kutoka Kenya Susumila amekubali kwamba anafanya uchawi ila ni wa aina yake Kwa muda sasa, msanii huyu amekuwa ...
Read More
Nick wa Pili avipa tano vyombo vya habari, awachana wasanii kuwa ‘makunguru’
Rapper Nick wa Pili amefurahishwa na umoja uliooneshwa na vyombo vya habari katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na hali tete baada ya mku...
Read More
Huu ndio muda wetu wa kurudisha heshima – Yamoto Band
Yamoto Band wiki hii wanajipanga kuachia wimbo wao mpya baada ya kumaliza tour yao ya kimataifa ambayo waliifanya katika mataifa 6. Ben...
Read More
Profesa Jay afunguka kuhusu mistari aliyowachana wasanii wenzake kwenye ‘Kibabe'
Rapper na mbunge wa Jimbo la Mikumi, Profesa Jay amefunguka juu ya mistari aliyowachana wasanii wenzake kwenye wimbo wake mpya wa ‘Kibabe...
Read More
Mbowe: Madaktari Msiende Kenya, Rais Anacheza na Maisha Yenu, Kenya Sio Salama kwa Sasa..!!
HADEMA tunasema hivi, Rais Magufuli acha mchezo wa kucheza na maisha ya madaktari wetu, katika mazingira ya kawaida, ingekuwa wanak...
Read More
Afande Sele Amfananisha Bashite na Tumbili Aliyemaliza Kurukia Miti yote na Sasa Ameamua Kumrikia Anayemfuga...
Msanii mkongwe wa Muziki wa Bongo fleva Mwana Hip Hop Afande Sele TheKing Ametoa ya moyoni baada ya Kuibuka Tetesi za Uvamizi wa Clo...
Read More
VIDEO, Nape Nnauye: Kitendo Kilichofanywa na Mkuu wa Mkoa kimenajisi Tasnia ya Habari
Waziri Nape Nnauye ameyasema haya akiwa na waandishi wa habari leo hii baada ya kutoka clouds kuhakiki taarifa ambazo zipo mitandaoni. W...
Read More
Gharama ya kuilinda familia ya Trump kwa siku moja itakushangaza!
Familia ya Rais wa Marekani, Donald Trump ina ulinzi mkali. Ulinzi huo unadaiwa kugharimu kiasi kikubwa cha fedha. Wakati ambapo Trump a...
Read More
VIDEO: Ruge afunguka kuhusu RC Makonda kuvamia Clouds
Mkurugenzi wa Vipindi na Uendeshaji wa Kituo cha Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amefunguka Jumatatu hii katika kipindi Clouds 360 cha ...
Read More
Sakata la Kuvamiwa Clouds Fm: Clouds Fm waeleza kilichotokea, Waziri Nape kuwatembelea
Weekend hii katika mitandao ya kijamii kimesambaa kipande cha video kinachomwonyesha mtu anayedaiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Pa...
Read More
Jaji mwingine azuia marufuku mpya ya Trump kuingia Marekani
Jaji wa Hawaii amezuia marufuku mpya ya kuingia Marekani iliyowekwa na Rais Donald Trump, saa chache kabla ya kutakiwa kuanza kufanya kazi...
Read More
Vanessa Mdee: Niko salama, naachia muziki mpya wiki hii
Vanessa Mdee amezungumza kwa mara ya kwanza tangu atoke rumande Jumatatu hii baada ya kushikililiwa na polisi jijini Dar es Salaam kuanza ...
Read More
Lukaku agoma kusaini mkataba mpya Everton
Mshambuliaji wa klabu ya Everton, Romelu Lukaku amekataa mkataba wenye faida kubwa kwake katika historia ya klabu hiyo. Klabu ya Everton...
Read More
Willy Paul aweka rekodi hii kwenye muziki wa Kenya
Msanii wa nyimbo za kumtukuza Mwenyezi Mungu Willy Paul Msafi wiki hii ameweka historia ya kipekee sio tu katika muziki wake ila pia katik...
Read More
Nay wa Mitego na Professor J ni miongoni mwa wasanii wanaoleta wimbo kukaguliwa kabla ya kuzitoa – BASATA
Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limewataka wasanii wa muziki nchini kufuata taratibu za kupeleka nyimbo zao kukaguliwa kabla hazijatoka ili...
Read More
Nataka kuwa Beyonce wa Bongo – Nandy
Msanii wa muziki kutoka THT, Nandy amefunguka kwa kudai kuwa atahakikisha anafanya vizuri katika muziki anaofanya ili afike mbali zaidi k...
Read More
Hili ndilo swali ambalo Mr T Touch hawezi kulijibu kuhusu Nay wa Mitego
Ni muda sasa tangu Producer Mr T Touch aondoke Free Nation inayomilikiwa na Nay wa Mitego na kwenda kuanzisha studio yake mitaa ya Sinza ...
Read More
One Incredible adai ana mpango wa kufanya kazi na Eminem
Msanii wa muziki wa hip hop One Incredible amedai bado ana ndoto ya kuja kufanya kazi na msanii mkongwe wa muziki wa hip hop kutoka Mareka...
Read More
Niliitwa na kuhojiwa kuhusu dawa za kulevya na wamebaini sihusiki – Ridhiwani Kikwete
Mtoto wa Rais mstaafu wa Tanzania wa awamu ya nne, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ameshahojiwa na kamisheni ya kupambana na dawa za kulev...
Read More
RC Makonda aagiza kubomolewa nyumba 36 bonde la Msimbazi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ameagiza kubomolewa kwa nyumba 36 ambazo zipo kwenye maeneo hatarishi ya mabondeni ikiwemo bon...
Read More
Producer Fraga: Harmonize amezidharau kazi zangu kwa kuzitupa mtandaoni
Mkali kutoka WCB, Harmonize ameachia kazi mpya tatu kwa wakati mmoja, Happy Birthday, Acha Nilewe na Niambie Kati ya hizo, Happy Birt...
Read More
Hii ndio simu itakayovunja rekodi ya kuchaji betri kwa haraka mno
Kama umekuwa ukitafuta simu kali ambayo itakuwezesha kufanya mambo mengi bila kuhitaji kuichaji mara kwa mara basi “Tecno Mobile” wanakuso...
Read More
Vanessa Mdee apata baraka za Mchungaji Gwajima
#FreeVanessaMdee haijaishia kutrend kwenye midomo ya mashabiki na wasanii pamoja na kwenye mitandao ya kijamii peke yake, weekend hii. ...
Read More
Samatta hakamatiki Ubelgiji, wiki moja atupia magoli 5
Mbwana Samatta hakamatiki. Mchezaji huyo amezidi kuendeleza kasi yake ya ufungaji katika klabu ya KRC Genk. Jumapili hii nahodha huyo w...
Read More
Nicki Minaj amdiss Meek Mill kwenye show mjini Paris
Nicki Minaj amemdiss ex wake Meek Mill wakati alipoalikwa kwenye show ya Drake mjini Paris wikiendi hii Nicki aliimba nyimbo tatu pamo...
Read More
New Music: Cyrill Kamikaze – Sinunui Stress
Rapper Cyrill ameachia kazi yake mpya, Sinunui Stress iliyotayarishwa na Bin Laden kwenye studio za Tongwe Records. DOWNLOAD HERE ...
Read More
AUDIO | J MAUJUZI Ft MAJESTY - MAUMIVU |MP3 DOWNLOAD
DOWNLOAD HEREMabibi na mabwana mkali wa RNB J MAUJUZI ft MAJESTY anawaalika kuisikiliza hit yake inayokwenda kwa jina la MAUMIVU bc mnj...
Read More
Baby J kufanya party ya uzinduzi wa Foundation yake pamoja na kutangaza ujio wake mpya
Msanii wa muziki kutoka visiwani Zanzibar Baby J Machi 18 anatarajia kufanya party maalumu kwajili ya uzinduzi wa Foundation yake mpya amb...
Read More
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)