,

,

,

,
Music

Mwanamuziki Diamond Asema Haya Kuhusu Kufanya Collabo na Wasanii wa Kike Bongo

Mtu wangu leo October 15 2016 nakukutanisha na hii stori kutoka kwa mkali kutoka Bongoflevani Diamond Platnumz kuhusu mipango yake ya kufanaya collabo na watoto wa kike kutoka Bongoflevani na haya ndio yalikuwa majibu ya Diamond Platnumz.


‘Nimeshafanya wimbo na Linnah pia dada yangu Queen Darleen unajua pia uchache wa wasanii wa kike kwenye soko letu la muziki ndio linafanya tuwe na collabo chache na wasichana  unajua kuna wengine wanaogopa labda kuja kuniomba collabo lakini wasiogope sisi hapa tuna uongozi wakija tunafanya‘ Diamond Platnumz

Jozey The Boy inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Instagram na Twitter ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment

copyright © 2016 Jozey The Boy. Powered by Blogger.