,

,

,

,
Music

Huu ndio ujumbe wa Jah Prayzah kwa Diamond Platnumz

Japo Jah Prayzah ni staa mkuwa nchini Zimbabwe lakini bado anaendelea kumshukuru na atamkumbuka kila siku Diamond Platnumz baada ya kufanya video ya wimbo wake wa ‘Watora Mari’ kutazamwa zaidi ya mara milioni nne kwenye mtandao wa Youtube kitendo ambacho hakijawahi kutokea katika maisha yake ya muziki


Kupitia mtandao wa Instagram, Jah amemshukuru hitmaker wa ‘Marry You’ kwa kuandika:
This is one guy i can give thumbs up all day. Help me thank @diamondplatnumz for the role he has played in my musical journey and growth.All the best my brother
Hii ndio tafsiri yake ya kiswahili
Huyu ni mtu ambaye ninaweza kumpa pongezi kila siku. Nisaidie kumshukuru @diamondplatnumz kwa jukumu alizocheza katika safari yangu ya music na ukuaji. Kila la kheri kaka yangu

Jozey The Boy inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Instagram na Twitter ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment

copyright © 2016 Jozey The Boy. Powered by Blogger.